Waisraeli wanaiogopa hata furaha ya Wapalestina

Picha kwa Hisani ya Pars Today Na Ahmed Rajab KISWAHILI chetu hakina neno moja lenye tafsiri ya neno la Kiingereza ‘resistance.’ Lakini lugha za Kiarabu na Kifarsi (Kiajemi), ambazo tumezoea kuazima misamiati yao, zote zinalo neno moja lenye maana ya ‘resistance.’ Na lugha zote hizo mbili zinalitumia neno hilo hilo moja lililoanzia kwenye Kiarabu: ‘muqawama.’ […]

Joan Wicken, mwanamke aliyemjua Julius Nyerere

Picha: Nakala ya kitabu kilichoandikwa na Profesa Aili Mari Tripp kuhusu maisha ya Joan Wicken na uhusiano wake na Mwalimu Nyerere. Kitabu hicho kimechapwa na kampuni ya Mkuki na Nyota   Na Ahmed Rajab   KWA zaidi ya miaka 40, kila alasiri baada ya saa za kazi, Bi Joan Wicken alikuwa akikimbilia Msasani, Dar es […]

Taabini: Hashil Seif, mpigania haki asiyeyumba (Januari 12, 1938 – Oktoba 27, 2023)  

  Na Ahmed Rajab   UJUMBE wa simu ulipoingia asubuhi ya Ijumaa iliyopita, ulikuwa na maneno machache: “Ndugu yetu ameshatangulia mbele ya Haq leo saa moja na dakika arobaini na tano kwa saa za hapa. Tunangoja daktari aje kumtizama mara ya mwisho.”   Aliyeleta ujumbe alikuwa Hamed Hilal, mmoja wa makomredi wa chama cha zamani […]

Israeli: Demokrasia yenye dosari na ubaguzi uliozagaa

Maelezo ya Picha. Aliyekuwa Kiongozi wa Wapalestina, Yasser Arafat (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa zamani wa Comoro, Ahmed Abdallah (kushoto) na aliyekuwa Mufti wa Comoro Sayyid Muhammad Abdulrahman (kulia), wakati alipotembelea taifa hilo kwenye miaka ya nyuma.   Na Ahmed Rajab   ‘Je, Israeli ni dola la ubaguzi wa kikabila?’ Nilimuuliza […]

Israeli: Demokrasia yenye dosari na ubaguzi uliozagaa

Picha: Kiongozi wa zamani wa Wapalestina, Yasser Arafat, kwenye picha na Mwalimu Nyerere. Na Ezekiel Kamwaga Katika moja ya hotuba zake maarufu za zamani, Baba wa Taifa la Zambia, Dk. Kenneth Kaunda, alipata kuelezea uhusiano baina ya taifa lake na Tanzania kuwa sawa na ule wa pacha walioungana. Hakuna kilichokuwa kinaeleza uhusiano huo kama uhusiano […]

Netanyahu na wenzake ni chui wa karatasi

  Na Ahmed Rajab   NILIPOWASILI Gaza kwa mara ya kwanza Mei 2009 nilikuwa na hamu kubwa ya kukutana na Ismail Haniyeh, kiongozi wa Hamas (ufupisho wa Harakah al-Muqawamah al-Islamiyyah) na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Palestina.  Hamas ni chama cha kisiasa chenye muelekeo wa Kiislamu; wafuasi wake wanafuata madhehebu ya Sunni.   Chama hicho […]

Mizengwe dhidi ya Maalim Seif na Dkt. Salim

Picha: Maalim Seif Sharif Hamad na Dk. Salim Ahmed wakizungumza wakati Salim akiwa Mjumbe wa Kamati ya Bunge la Katiba.   Na Ahmed Rajab   NILIWAHI kuandika kuhusu mazungumzo yangu na Mwalimu Julius Nyerere alasiri ya tarehe 5 Desemba, 1994, chumbani kwake katika hoteli ya Intercontinental, jijini Nairobi. Ilikuwa miezi saba kabla ya Chama cha […]

Nusura wanawake waniadhiri kwenye ‘Bustani ya Ibilisi’

Picha: Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab (kushoto), akiwa na mwandishi mwenzake wa Tanzania, Salim Kikeke, wakiwa na tuzo zao zilizoenzi mchango wao katika kukuza lugha ya Kiswahili. Tukio hilo lilifanyika London, Uingereza, hivi karibuni.   Na Ahmed Rajab   DUH! Ningefedheheka nikashika adabu yangu. Na wanawake ndio wangeliniponza kwani mti huponzwa na tundale. Sijui […]

Mitizamo miwili ya Nyerere juu ya Israel

Picha:Ali Muhsin Barwani (kushoto), Kwame Nkrumah na Julius Nyerere (wa pili kulia), Accra, 1958. Picha kwa hisani ya Ahmed Rajab Na Ahmed Rajab   WIKI mbili zilizopita niliandika kuhusu mazungumzo waliyokuwa nayo viongozi wawili wa kizalendo wa Kiafrika jijini Accra, Machi 1958. Viongozi wenyewe walikuwa Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Ali Muhsin Barwani. Nyerere alikuwa […]

Rais Babangida: Nyumbani kwa ‘Maradona’ wa siasa za Nigeria

Picha. Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab (kushoto), akizungumza na Rais mstaafu wa Nigeria, Ibrahim Babangida, nyumbani kwake wakati wa mahojiano yaliyofanyika nyumbani kwa kiongozi huyo nchini Nigeria.     Na Ahmed Rajab   KAMA kuna mtawala wa kijeshi aliyewaweza Wanigeria basi alikuwa Ibrahim Badamasi Babangida (IBB) au “Maradona”, kwa umaarufu wake wa mitaani. Si […]