Aina tano za UONGO wa ubeberu, ukweli mmoja wa umma
Picha: Mmoja wa waandamanaji barani Ulaya akiwa ameshika bango linalotaka majeshi ya Israel yasitishe mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina hivi karibuni. Picha kwa hisani ya mtandao wa Forward. Na Issa Shivji KUNA mtu aitwaye Joseph Goebbels aliyekuwa Waziri wa Propaganda katika utawala wa fashisti Adolf Hitler. Goebbels aliwahi kusema ukirudiarudia uongo hatimaye […]