Senegal: Funzo kubwa zaidi ni wapinzani kuaminiana
Rais Macky Sall wa Senegal akiwatembeza Rais mteule wa Senegal, Diomaye Faye (kushoto kwake) na Ousmane Sonko (kulia kwake) kwenye Ikulu ya Dakar hivi karibuni. Picha kutoka mtandao wa Quest France. Na Zitto Kabwe Mtandao wa Viongozi wa Upinzani katika Bara la Afrika (Pan African Opposition Leaders Solidarity Network) umepoteza wanachama wake wawili […]