Katibu Mkuu wa CCM: Historia Fupi

Na Ezekiel Kamwaga DANIEL Godfrey Chongolo amemaliza muhula wake kama Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuandika barua ya kujiuzulu na kuhitimisha takribani miaka miwili na miezi saba ya kutumikia nafasi hiyo. Wakati alipotangazwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, si watu wengi walikuwa wamewahi kumsikia kabla – ingawa aliwahi kuwa Mkuu wa […]

Maji kila sehemu lakini hakuna maji!

Na Ezekiel Kamwaga   “Maji kila mahali lakini hakuna hata tone moja la kunywa” Samuel Taylor Coleridge, The Rime of the Ancient Mariner   MWANZO kabisa, napenda kutoa pole kwa Watanzania wenzangu ambao wameathirika kwa namna moja au nyingine na mvua hizi za El Nino zinazoendelea kunyesha.   Ninafanya kazi kwenye kituo cha televisheni na […]

Fungulia John Heche Suguta

Picha: John Heche (kwa hisani ya mtandao wa Millard Ayo)   Na Ezekiel Kamwaga   MWAKA 2016 utabaki kuwa na historia ya kipekee kwenye miaka ya karibuni na pengine mingi inayokuja. Huu ndiyo mwaka ambapo neno moja lilitajwa kuwa neno lililotumika zaidi katika lugha za Kijerumani na Kihispania mtawalia; Postfaktisch na Posverdad. Kwenye Kiingereza, linajulikana […]

Bahati na kupanda kwa Dk. Tulia Ackson

Picha: Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) akizungumza baada ya kupokewa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma mara baada ya kurejea nchini akitokea nchini Angola alikoshinda uchaguzi wa taasisi hiyo ya mabunge duniani. Picha kwa hisani ya mtandao wa Zanzinews.   Na Ezekiel Kamwaga   WAKATI Ikulu ilipotoa […]

Nyakati za Samia na Hakainde

Na Ezekiel Kamwaga   Katika moja ya hotuba zake maarufu za zamani, Baba wa Taifa la Zambia, Dk. Kenneth Kaunda, alipata kuelezea uhusiano baina ya taifa lake na Tanzania kuwa sawa na ule wa pacha walioungana. Hakuna kilichokuwa kinaeleza uhusiano huo kama uhusiano baina yake na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.   Wawili hawa […]

Namna Rais Samia ‘alivyoiteka’ India

  Na Ezekiel Kamwaga   NIANZE kwa kutumia takwimu kueleza kile nilichopanga kuandika kwenye makala haya.   Katika siku nne ambazo Rais Samia Suluhu Hassan alikaa nchini India, Oktoba 8 mpaka 11 mwaka huu, kuna siku mbili ambazo jina lake liliongoza kwa kusakwa kupitia mitandaoni na raia wa taifa hilo.   Siku ya kwanza ilikuwa […]

Nyerere na namna ya kudhibiti Jeshi

Na Ezekiel Kamwaga   RAIS Yoweri Museveni wa Uganda alipata kuulizwa wakati mmoja kuwa ni jambo gani kubwa analodhani Baba wa Taifa la Tanzania, Julius Nyerere, alilifanya kiasi cha kubaki madarakani kwa muda mrefu? Pasi na kufikiri sana, Museveni alijibu; “He tamed the army” Kwa tafsiri ya haraka ya lugha ya Kiswahili, alimaanisha alilidhibiti Jeshi. […]

Ya Dk. Salim: Namuelewa Mzee Warioba, lakini….  

Picha: Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere akiwa na Dk. Salim   Na Ezekiel Kamwaga   KWENYE tukio la uzinduzi wa Makavazi ya Dk. Salim Ahmed Salim jijini Dar es Salaam wiki iliyopita, Profesa Said Yahya Othman aliuliza swali gumu kwa wazungumzaji watatu katika tukio lile; kuhusu ubaguzi ulio wazi katika siasa za Tanzania.   Kama […]

TANESCO: Nyamo-Hanga, Ulanga, Makamba na wahanga

Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa tukio la kuapisha mabalozi na watendaji wengine wa serikali lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam wiki hii. Picha ya Ikulu     Na Ezekiel Kamwaga   KUELEWA uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kumfanya Boniface Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la TANESCO kunahitaji tafakuri ya mambo […]

“Baba yenu ni Doto, Uwaziri umekuja na utaondoka”

Picha: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko (kulia), akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, katika mojawapo ya matukio ya kiserikali hivi karibuni.   Na Ezekiel Kamwaga   DESEMBA 30, mwaka 1978, mapacha walizaliwa katika familia moja ya wakulima huko Bukombe. Wazazi hawakuwa na uwezo wa kuhudumia mapacha hao peke yao huku wakiendelea […]