Kwa nini hatukuuona ushindi wa Lissu?
Na Ezekiel Kamwaga AKIANDIKA mapitio ya kitabu cha The Age of Revolutions cha Fareed Zakaria kwenye jarida mashuhuri la Foreign Policy Machi mwaka jana, mchambuzi Michael Hirsh, aliandika mstari mmoja ambao umebaki kwenye kumbukumbu zangu; “Kuna kitu kimeikumba dunia hivi sasa na sote bado hatujajua ni kitu gani”. Hayo yalikuwa […]