Je, CHADEMA inaelekea njia ya TLP?
Na Thomas Joel Kibwana Chama cha Tanzania Labour (TLP), ambacho kilikuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Tanzania, kilififia na kupoteza umaarufu wake kutokana na changamoto za uongozi, mgawanyiko wa ndani, na kushindwa kuendana na mabadiliko ya kisiasa. Sasa, maswali yanazuka kuhusu iwapo CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini, […]