Kwa nini hatukuuona ushindi wa Lissu?

  Na Ezekiel Kamwaga     AKIANDIKA mapitio ya kitabu cha The Age of Revolutions cha Fareed Zakaria kwenye jarida mashuhuri la Foreign Policy Machi mwaka jana, mchambuzi Michael Hirsh, aliandika mstari mmoja ambao umebaki kwenye kumbukumbu zangu; “Kuna kitu kimeikumba dunia hivi sasa na sote bado hatujajua ni kitu gani”.     Hayo yalikuwa […]

Kazini kwao kuna kazi

  Na Ezekiel Kamwaga     UTANGULIZI     WAKATI mwaka mpya unapoanza, vyombo vya habari vimekuwa na utamaduni wa kufanya tafakuri kuhusu masuala tofauti yaliyotokea katika mwaka uliokwisha na yapi ya kutarajia katika mwaka mpya.     Kwa mara ya kwanza mwaka huu, Gazeti la Dunia linafanya uchambuzi wa kuangalia wanasiasa wa kuangaliwa zaidi […]

Je, CHADEMA inaelekea njia ya TLP?

    Na Thomas Joel Kibwana     Chama cha Tanzania Labour  (TLP), ambacho kilikuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Tanzania, kilififia na kupoteza umaarufu wake kutokana na changamoto za uongozi, mgawanyiko wa ndani, na kushindwa kuendana na mabadiliko ya kisiasa.     Sasa, maswali yanazuka kuhusu iwapo CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini, […]

Kosa la Freeman Mbowe

  Na Ezekiel Kamwaga     MWAKA 2015, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilipata mafanikio makubwa katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania. Kilipata takribani asilimia 40 ya kura zote zilizopigwa – kiwango ambacho kilikuwa hakijawahi kufikiwa na chama chochote cha upinzani katika historia ya taifa letu.     Kulikuwa na mambo mawili katika ushindi huo […]

Kosa la Tundu Lissu

Picha kwa Hisani ya Gazeti la Citizen la Tanzania   Na Ezekiel Kamwaga   MARA nyingi ninapofanya uchambuzi kuhusu wanasiasa, huwa ninaamini kuwa kuna wanasiasa wa aina tatu; wanasiasa wa kipekee, wanasiasa wa kitaasisi na wanasiasa wa msimu.   Wanasiasa wa kipekee ni wale ambao si wa kawaida. Nazungumzia watu wa aina ya Nelson Mandela […]

Ancien Regime, Abdul Nondo na watu kutekwa

  Na Ezekiel Kamwaga     KATIKA uchambuzi wake wa nini kilisababisha Mapinduzi ya Ufaransa ya mwaka 1789, Alexis du Tocqueville aliandika kitu cha tofauti na wengine walioandika kuhusu mapinduzi yale. Alisema mapinduzi yale hayakuwa tukio la mara moja bali ni hitimisho la miaka mingi ya kuharibika kwa mfumo wa utawala wa taifa hilo.   […]

Rais Samia wa G20

MAELEZO YA PICHA: Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo ya uwili (bilateral)  na Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, pembezoni mwa mkutano wa G20 uliofanyika Rio de Janeiro, Brazil, wiki iliyopita.   Na Ezekiel Kamwaga   MOJAWAPO ya taswira zilizobaki kwenye kumbukumbu zangu kuhusu Mkutano wa Nchi Tajiri Duniani maarufu kwa jina la G20 uliomalizika […]

Ajali ya Kariakoo, angani na Rio: Saa 15 za kwanza

  Na Ezekiel Kamwaga   DAKIKA chache baada ya ndege iliyombeba Rais Samia Suluhu Hassan kupaa angani kwenda Brazil kuhudhuria mkutano aliopewa heshima ya kualikwa wa Nchi Tajiri Duniani wa G20, habari zilianza kusambaa mitandaoni kuhusu kuanguka kwa jengo la biashara katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam.   Kwa bahati nzuri, ndani ya […]

Pitio la Kitabu: Mbegu ya Tikiti

Mtungaji: Mohammed Ghassani Wachapishaji: Zaima Publishers   Uhakiki na Ahmed Rajab   KITABU hiki, kilichozinduliwa Oktoba 26, mwaka 2024 kwenye ukumbi wa Chuo Kikuu cha SOAS, London, ni cha aina ya pekee.  Hakina mfanowe katika fasihi ya Kiswahili — si ya kale, si ya kisasa.  Ni vitabu viwili ndani ya kimoja.  Kila kitabu kati yavyo […]

Septemba 23 isiwe maafa, uwe mwanzo mpya

  Na Ezekiel Kamwaga   KESHO, Septemba 23, 2024, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepanga kufanya maandamano hapa nchini kupinga vitendo vya utekaji na mauaji vinavyoonekana kukithiri hapa nchini hivi sasa.   Mpaka wakati naandika makala haya, ninafahamu kwamba CHADEMA wameamua kesho watafanya maandamano hayo. Na mpaka wakati huu, Polisi hawajatoa taarifa yoyote kuruhusu […]