Mtihani wa Rais Samia na Waziri Ummy
Na Ezekiel Kamwaga MWISHONI mwa wiki hii, nilikuwa na mjadala mzuri katika mojawapo ya makundi sogozi niliyopo. Rafiki yangu mmoja alijenga hoja kwamba tatizo la akinamama kujifungulia sakafuni lililotawala sana katika vyombo vya habari na mitandaoni hapa nchini au mwenendo wa suala la Naibu Waziri wa zamani wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul, yasingetokea […]















































































































































