Utamjuaje Magufuli, Netanyahu au AMLO?

AKIANDIKA katika gazeti maarufu nchini Israel la Haaretz hivi karibuni, mwanahistoria maarufu, Yuval Harari, alieleza kwamba katika historia, kuna mapinduzi ya namna mbili; yale ya kutoka juu na mengine ya kutoka chini.   Mapinduzi ya kutokea chini ni yale ambayo yamezoeleka zaidi. Mwanajeshi anaongoza kikosi cha askari wenzake kupindua serikali iliyoko madarakani. Au wananchi wanachukua […]

Siku Membe aliponieleza kuhusu Miungu Watu

MWAKA 2017, utawala wa Rais John Magufuli ulikuwa umeanza kushika kasi. Wakati huo nilikuwa Mhariri wa gazeti la Kiswahili la kila wiki la Raia Mwema na uchambuzi wangu kuhusu uteuzi wa baraza lake la kwanza la mawaziri – ambapo nilihoji uchache wa Wazanzibari, Waislamu na Wanawake kwenye baraza hilo, ulikuwa tayari umevuruga uhusiano wangu naye. […]