Hatumtendei haki January
Maaelezo ya picha: Waziri wa Nishati, January Makamba, akiwa katika mazungumzo na wakuu wa kampuni za Shell na Equinor mnamo Septemba mwaka 2021, siku chache tu baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kushika wadhifa huo. Na Ezekiel Kamwaga KAMA Tanzania ingekuwa kampuni iliyosajiliwa katika soko la hisa, wiki iliyopita hisa zake […]















































































































































