Tunarudi mbele? Diplomasia ya Rais Samia
Na Ezekiel Kamwaga MUONGO mmoja uliopita, nilikuwa na mazungumzo na mmoja wa maofisa waandamizi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ofisini kwake na mara akapita mtu mmoja wa makamo mbele yetu. Rafiki yangu akaniuliza “unamfahamu yule”, nikajibu hapana. Akanitajia jina la Khamis Mussa Omar, wakati huo akiwa Mjumbe wa Bodi ya BoT, na […]















































































































































