Tatizo la Dk. Slaa

Picha: Dk. Wilbrod Slaa. Kwa hisani ya The Citizen   Na Ezekiel Kamwaga   MWAKA 2015, akiwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mmoja wa wanasiasa wanaoheshimika sana nchini Tanzania, Dk. Wilbrod Slaa, alitangaza kupingana na hatua ya chama chake kumkaribisha Edward Lowassa kwenye chama hicho na kumfanya kuwa mgombea urais […]

Hadaa kama mbinu ya kivita: Mabadiliko ya Kagame Jeshi la Rwanda

Picha: Rais Paul Kagame. Kwa hisani ya tovuti ya PML Daily   Na Ezekiel Kamwaga   All warfare is deception.   Sun Tzu, The Art of War   MOJAWAPO ya habari kubwa katika eneo la Afrika Mashariki mwezi huu ilikuwa ni mabadiliko makubwa kwenye sekta ya Ulinzi na Usalama yaliyotangazwa na Rais Paul Kagame wa […]

Buriani Leila Sheikh: Mwandani na sikio la Bibi Titi Mohamed

Picha: Leila Sheikh Khatib   Na Mohamed Said   WASOMAJI wangu, niruhusuni niweke meseji niliyomtumia Leila Sheikh tarehe 12 December 2022.   (Mtaniwia radhi nimeifanyia uhariri kidogo ili ipate kueleweka kwa wasomaji).   Wakati huo CCM na serikali yake walikuwa katika pilikapilika ya kuandaa tamasha la kumuadhimisha Bi. Titi Mohamed. Maofisa wa Wizara ya Utamaduni […]

Mkataba wa Bandari umeonesha rangi zao

Picha: Sehemu ya Bandari ya Dar es Salaam   Na Ahmed Rajab   KUMEKUWA na mijadala ya kushangaza nchini Tanzania tangu ibainike kwamba serikali yake inawasilisha bungeni Azimio la kujadili mkataba unaotarajiwa kutiwa saini baina yake na kampuni ya kimataifa ya DP World inayomilikiwa na serikali ya Dubai. Kiini cha mkataba huo ni Bandari ya […]

Mwisho wa fungate ya Rais Samia

  Na Ezekiel Kamwaga   MWANAFALSAFA wa Ufaransa, Alexis de Tocqueville, alipata kunukuliwa akisema; “the most dangerous moment for a bad government is when it begins to reform itself” (wakati wa hatari zaidi kwa serikali isiyo ya kidemokrasia ni wakati ikianza kujirekebisha). Msomi huyo alikuwa anafanya uchambuzi wa nini kilisababisha Mapinduzi ya Ufaransa (1789 -1799) […]

Nusu Muhula wa SUK Zanzibar: Mkanganyiko, Kutoaminiana na Matumaini  

Maelezo ya Picha: Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, akiongoza kikao cha mazungumzo ya Kamati ya Maridhiano ya Zanzibar kilichofanyika Ikulu ya Zanzibar hivi karibuni. Picha kwa Hisani ya Ikulu ya Zanzibar     Na Ezekiel Kamwaga   WAKATI Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) ikiwa inatimiza nusu muhula tangu iundwe baada ya Uchaguzi Mkuu […]

Chalamila na namna tunavyowatengeneza madikteta kwa midomo yetu

Picha kwa hisani ya Gazeti la JAMHURI.       Na Ezekiel Kamwaga     KATIKA moja ya mikutano ya karibuni kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na wabunge wa Bunge la Tanzania, mmoja wa wabunge alisimama na kuzungumza maneno ya kumhakikishia Rais kwamba kwa mujibu wa mila na desturi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) […]

“Nilikutana na Saddam mara mbili baada ya kupinduliwa”

Maelezo ya picha. Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab (kushoto), akisalimiana na Abu Mahdi al Muhandis, aliyekuwa Kaimu wa Mkuu wa Jeshi la Mgambo la al-Hashd al-Sha‘abi nchini Irak mnamo mwaka 2017.    Na Ahmed Rajab   MWANZONI mwa Oktoba, 2017, nilialikwa kuhudhuria mkutano jijini Baghdad, Iraq, kuujadili ugaidi wa kimataifa. Baada ya kuisoma barua […]

Wasaliti ni wenye kupinga Muungano wa Mkataba  

Picha: Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume.     Na Ahmed Rajab   MENGI yameandikwa na mengi yataendelea kuandikwa kumhusu Sheikh Abeid Amani Karume, Rais wa mwanzo na wa pekee wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambaye Aprili, 26, mwaka 1964 alikubali kuiunganisha nchi yake na ile ya Tanganyika.   Hadi sasa […]

Dangote wao, Bakhresa wetu

Maelezo ya picha: Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya mamilionea wa Tanzania baada ya mkutano wa Kamati ya Okoa Maisha Somalia uliofanyika Ikulu mwaka 2011 kuhusu namna ya kuisaidia nchi ya Somalia kwa misaada ya kibinadamu. Kutoka kushoto ni Haruna Zakaria, Said Bakhresa, hayati Reginald Mengi, Kikwete, Gulam Dewji na […]