Bandari inavyorarua vazi la Nyerere

    Na Peter Nyanje   KATI ya mambo yaliyoibuka kwa hisia kali kwenye mjadala wa uwekezaji katika bandari nchini ni suala la Muungano. Ingawa hivi sasa hoja hii inaonekana kama imekufa pengine kwa sababu haikuwa katika kiini cha mjadala yaani vifungu vya mkataba, lakini hisia zilizotolewa kwenye kulijadili suala hilo zimeacha makovu ambayo pengine […]

Jecha

    Na Ezekiel Kamwaga   KIFO cha Jecha Salim Jecha kilichotokea jijini Dar es Salaam jana, kimemuondoa duniani mtu ambaye – kwa miaka mingi inayokuja, jina lake litanasabishwa na Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa mwaka 2015 ambao – kinyume na matarajio ya wengi na sheria za uchaguzi za visiwa hivyo, matokeo yake yalifutwa.   […]

Katika hili, Rais asiyumbe

  Na Ezekiel Kamwaga   MWAKA 1978, Rais Julius Nyerere, alilazimika kufanya uamuzi mzito wa kuiingiza Tanzania vitani dhidi ya Uganda. Majeshi ya Nduli Idi Amin yalikuwa yameivamia ardhi ya Tanzania na kama Amiri Jeshi Mkuu, Baba wa Taifa hakuwa na namna zaidi ya kupeleka majeshi yetu yaende vitani akijua kuna watu wanakwenda kupoteza maisha […]

Kwa nini tatizo la Burundi ni tatizo letu?

Picha: Picha ya pamoja kati ya Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye na kiongozi wa chama cha upinzani cha CNL, Agathon Rwasa (kulia). Picha ya Al Jazeera:   Ezekiel Kamwaga RIPOTI maarufu ya Taasisi ya Kimataifa ya ACCORD ya mwaka 2016 iliyoitwa Conflict in the Great Lakes Region, ilieleza kwa kifupi kwamba vita na migogoro isiyokwisha […]

Rwasa: Tatizo ni kuwa hatujajua Uhuru maana yake nini

Picha: Kiongozi wa Upinzani nchini Burundi, Agathon Rwasa, akizungumza na Mhariri wa Gazeti la Dunia, Ezekiel Kamwaga, katika mahojiano maalumu yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Picha ya Maktaba.   Na Ezekiel Kamwaga   KIONGOZI wa chama cha upinzani cha Congress for National Liberty (CNL) nchini Burundi, Agathon Rwasa, amesema chanzo kikubwa […]

Balozi Ali Karume: Mzingile

Picha: Picha ya pamoja ya Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, na Balozi na Waziri Mstaafu, Ali Karume. Kwa Hisani ya Jambo TV. Mzingile ni tafsiri ya Kiswahili ya neno labyrinth   Na Ezekiel Kamwaga   SAKATA la mwanasiasa na mwanadiplomasia mwandamizi wa Zanzibar, Ali Karume, kufukuzwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) limeibua swali […]

Bandari: Maneno yameonyesha rangi zetu

Sehemu ya Bandari ya Dar es Salaam. Picha ya gazeti la serikali la Daily News.   Na Ezekiel Kamwaga   KAMA kuna kitu ambacho mjadala kuhusu uwekezaji unaopangwa kufanywa kwenye bandari za Tanzania na kampuni ya DP World kutoka Dubai umefanikiwa kufanya ni kufichua kuhusu uwezo, hulka na silka za Watanzania – hasa wale wenye […]

Akina Nshala na ushindi wa Pyrrhic

Wakili Rugemeleza Nshala. Picha kwa hisani ya Katiba TV   Na Ezekiel Kamwaga   MARA nyingi huwa nafanya rejea kupitia maandishi ya hayati Profesa Samuel Huntington wa Marekani. Katika kitabu chake cha mwaka 1993, The Third Wave: Democratization in the Late Twentieth Century, msomi huyu alieleza kwa undani kuhusu ni wakati gani unaweza kubashiri mwisho […]

Kenya ya Ruto: Ndoto ya pepo kwa hustlers imetimia?

Picha: Rais William Ruto. Kwa Hisani ya BBC     Na Paul Sewe   UCHAGUZI Mkuu wa Kenya uliofanyika mwaka jana ulimalizika kwa ushindi wa Rais William Ruto na aliyekuwa mgombea mwenza wake, Rigathi Gachagua. Sasa miezi tisa imepita tangu ushindi wao huo lakini bado kuna maswali kuhusu mwelekeo ambao serikali yao imeamua kuchukua.   […]

Magufuli alishinda au Lowassa alipoteza 2015?  

Picha: Hayati Rais John Magufuli akisalimiana na Edward Lowassa katika mojawapo ya matukio ya kitaifa. Picha ya Ikulu   Na Ezekiel Kamwaga   MAJUZI nilikuwa nasikiliza Podcast ya The Rest is Politics kutoka nchini Uingereza na mada iliyozungumzwa ilinivutia. Watangazaji wa kipindi hicho, Alastair Campbell na Rory Stewart waliulizana swali moja; Kwenye Uchaguzi Mkuu wa […]