January: Alama kila anapoenda
Na Ezekiel Kamwaga MFANO mmoja unatosha kumueleza Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba, na utendaji wake tangu alipoingia kwenye wizara hiyo mwaka huu. Kwenye ndege wakati tukirejea Dar es Salaam kutoka India kwenye ziara ya kitaifa ya Rais Samia nchini humo, mmoja wa mawaziri alinieleza kwamba tangu awe waziri – ziara ile ilikuwa ndiyo […]















































































































































