January, uwaziri na mengine

    Na Ezekiel Kamwaga   KATIKA kipindi cha takribani miaka 60 ya nchi yetu – na pengine duniani kwa ujumla, P mbili; Perfomance and Politics (Siasa na Utendaji), zimeamua uwepo wa waziri au mawaziri kwenye Baraza la Mawaziri.   Rais anaweza kumbadili au kubadili mawaziri kwa sababu ya utendaji wao mbovu au kwa sababu […]

Tanzania Tower: Idan na Picha kubwa

Mwonekano wa majengo pacha ya Tanzania Tower mara yatakapokamilika   Na Ezekiel Kamwaga   MAPEMA mwaka huu, Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba, alipokea simu kutoka kwa mmoja wa viongozi wa Serikali ya Nigeria kuhusu suala la kiwanja ambacho Tanzania ilipewa katika eneo zuri la Lagos takribani miaka 34 iliyopita lakini hadi sasa hakuna […]

ANC, BJP, CCM na Zama za Mseto

Picha kwa hisani ya tovuti ya Al Jazeera     Na Ezekiel Kamwaga     NILIPIGA kura kwa mara ya kwanza mwaka 2000 na jambo moja nililolishuhudia wakati ule halijatoka kichwani kwangu hadi leo. Wakati naingia kupiga kura, nilikutana na wasimamizi wawili waliokuwa na mazungumzo ya ajabu kidogo.     Mmoja alisema; “Eti hawa wapinzani […]

Ruto katupiga bao? Ijue nchi yako

Picha: Ramani ya Afrika ikionyesha idadi ya kambi za kijeshi za mataifa makubwa ndani ya bara hilo. Hizi ni takwimu za mtandao wa REDDIT.      Na Ezekiel Kamwaga   KATIKA moja ya mahojiano muhimu zaidi niliyowahi kufanya kama mwana habari, nakumbuka niliyofanya wakati wa awamu ya kwanza ya utawala wa Rais Jakaya Kikwete. Nilipata […]

Watu 13 wamekufa na hakuna kitu?

Picha kwa hisani ya blogu ya Full Shangwe   Na Ezekiel Kamwaga   MEI 23 mwaka huu, watu 13 walipoteza maisha baada ya kuungua na mvuke wa moto uliotokea katika kiwanda cha sukari cha Mtibwa kilichopo mkoani Morogoro.   Mara baada ya ajali kutokea, tuliambiwa kwamba ripoti ya awali kuhusu nini hasa kilitokea ingetolewa kwa […]

Kipi kimeipa China ukubwa wake wa sasa?

    Na Ezekiel Kamwaga   WIKI iliyopita nilikuwa nchini China kwenye ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, kufuatia mwaliko wa mwenzake wa China, Wang Yi. Ilisadifu kwamba ziara hiyo iliendana na maadhimisho ya miaka 60 ya nchi hizi mbili lakini pia miaka 75 ya uhusiano baina […]

Siku January alipokutana na Wang Yi

Na Ezekiel Kamwaga   MWAKA jana, marais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania na Xi Jin Ping wa China walifanya mabadiliko katika mabaraza yao ya mawaziri na kuwapa nafasi wanasiasa wawili ambao ndiyo wasaidizi wao wakuu kwenye masuala ya diplomasia na uhusiano wa kimataifa.   Julai mwaka 2023, Rais Xi alimteua mwanadiplomasia mbobezi, Wang Yi, kuwa […]

Chapo tayari, Tanzania icheze kete ya kwanza

Na Ezekiel Kamwaga   MAPEMA kabisa, ni muhimu nikaweka wazi kwa nini naandika uchambuzi huu. Kwanza Msumbiji ni rafiki wa damu wa Tanzania, pili kwenye mpaka wetu nao kuna tishio la kiusalama na tatu tunapakana katika eneo ambako huenda nchi yetu ikafanya mradi mkubwa zaidi wa uwekezaji kwenye historia yake – wa LNG. Ni nchi […]

Kraken ameachiwa

Na Ezekiel Kamwaga KATIKA  filamu maarufu ya Clash of the Titans ya mwaka 2010, Liam Neeson – akiigiza kama mungu wa hekaya  za Kigiriki Zeus, alitamka maneno “Release the Kraken”. Kraken ni lidubwana lisilo na huruma ambalo Zeus aliagiza lifungiwe baharini, chini ya ulinzi wa Poseidon – mtawala wa baharini kwenye hekaya hizohizo, ili asidhuru […]

Mrithi wa Makonda: CCM na revolvere  

  Na Ezekiel Kamwaga   NI kazi ngumu kubashiri uteuzi wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan, kwenye nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho. Ukiangalia waliochukua nafasi hiyo kabla, huwezi kutunga uzi au shanga kuunganisha matukio.   Hakuna sababu ya waziwazi ya kusema kwa nini alimpa nafasi kwanza Shaka Hamdu […]